Unajua uungwana unatuzidi sana, siku moja tutajikuta na Police nao wanagoma. Labda kweli tufanye jaribio, Police wagome masaa 24 tu tuone kitakachotokea.
Jamani ee, sheria ni sheria tu. Inafahamika kwamba Dr. haruhusiwi kugoma, full stop. Wamegoma - wamejifukuza, BASI. Kwa heri.
Unaona...
Dar City
Ni vigumu kutokubaliana nawe walau kwa asilimia chache juu ya hamsini. Kwa mapungufu ya tafakari ya Mjengwa, kwa nini isiwe ni uwezo wake unaotakiwa kuongezeka katika kuzamia hoja, na madhara ya hoja yenyewe mthili ya hiyo ya Mh. Mnyika? Hilo naona ndiyo tatizo letu kubwa sana tulio...
Kuna hoja mezani juu ya udhaifu wa JK, imetokea Bungeni. Yumkini, kama mwanadamu, JK ana mapungufu na udhaifu wake, nani asiye na mapungufu na udhaifu? Lakini, tukimzungumzia JK kama taasisi ya ' Urais', namwona Rais anayejipambanua na waliomtangulia. Ni kwa kujitahidi kufanya yale yalo nafuu...
Tatizo la kauli kama hiyo ni kwamba imetamkwa ndani ya BUNGE. Ujue alimwongelea Rais kama taasisi, akiwa ndani ya BUNGE. Maneno yale hayawezi yakawa mepesi namna hiyo, ati uyatamke BUNGENI, na yaingie kwenye Hansard ya BUNGE, na wewe usitakiwe kuyafuta. Nje ya BUNGE, ruksa. Hatahivyo ndiyo...
Mbona una andika bila 'proper punctuations' ndugu yangu?
Hiki ni kiashiria kwamba wewe ni mzembe sana kwani, kulingana na ujumbe uliotoa, ni dhahiri una elimu na maandalizi ya kutosha!
Wanashangaza sana kutojua kwamba wao wametokana na ccm na Bajeti ndiyo determining instrument unayoitafuta kupitia kura. Ebo, kwani basi unatekelezaje ahadi ulizotamka kwenye ILANI yako? Kwani lazima iandikwe kwa urahisi wa uelewa wako tu?
Nadhani kutafuta umaarufu kumewazidi. Mwisho wao...
Laiti kama ungejua kuwa ule ni ustahimilivu, basi ndiyo ungekiri uwezo wa JK kama kiongozi. Watu wa aina ile unawategemea, LAKINI SIYO BUNGENI. tatizo hapa ni kwamba HANSARD za BUNGE haziwezi kuweka hayo katika kumbu kumbu, tena out of context. Mjadala unaoendelea ni Bajeti, siyo uwezo wa Rais...
SokoroDar, nakubaliana kabisa nawe. Ungeweza pia kutoa mfano wa Obama na Mrs. Clinton - sasa wanashirikiana na wamekusanya wapenzi wao wote kwa pamoja. See the strength with which they are going to whip the G.O.P....
Kama unajua unachotawanya, wewe ni mtu hatari kweli. Kama hujui, basi Mungu akusamehe kwani umekwenda mbali kweli kweli. Jali nafsi yako, familia yako na waTz wenzako. Jadili, tukana kama unaweza, lakini usichonganishe au kupelekea uhaini. Wewe unasikia tu, tuulize tuliokaa nchi za watu...
Innocent J
Hongera.
1. Umeona mwenyewe baadhi ya majibu. Moja ya magumu ya kuongoza nchi hii sasa - ni perceptions za vijana. Wengi wanataka urahisi wa ki(.)com hivi, wanataka maisha kama ya sinema hivi - every thing lasts in just a little under 2 hrs, tena kwenye screen. Wanataka Super Heros...
Now, sounds like you are cursing someone - why should you even think of that! Of course he (Lema) was calm because he knew it and perhaps felt it, save alone the calls he received from the Party Leaders. I liked your comment that, Hon Lema seems to be maturing! We all must mature now with him -...
Viwango havikwepeki, hiyo ni kwa watu makini wanaotaka mafanikio. Katiba mpya yaja, lakini sintoshangaa kama viwango vitabaki pale pale kwani Bunge la Katiba litawajumuisha hao hao. Hawatajilinda? .....!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.