Upinzani wa bongo na Kenya wanafana eti mzee wa NASA anadai ataapishwa mwezi ujao ahahahaaaaaa huyu kama mzee wa kipemba aliyechoka na kuota mchana kweupeeeeeee
Si wanajidai machizi na wavuta bangi na hawajitambui wacha sheria ichukuliwe .kwenye Kivunja sheria hakuna uheshimiwa. Alafu chadema mmechina kwasababu hamna sera mmebaki kuweweseka. Uchaguzi mdogo wa juzi ni alarm lakini mlivyo wagumu wa kupokea hali halisi mtaendelea na uzandiki uchwara
Usiwe na wasi x2 inawezekana ulikuwa tayari na maambukizi ya uti sasa baada ya shughuli pevu ukaiamsha au huyo bidada ndiye kakuambukiza. Ushauri : mpeleke naye akapimwe na kupata dawa ili muwe salama na kuinjoy bibo
Kuna watu wanajipambanua kuwa ni wasomi na wajuaji sana lakini wanafanya mambo kama watoto wa kambo wasio na uwelewa. Ndiyo maana wananchi juzi kwenye uchaguzi mdogo wamewanyari kwa kuwa hamna hoja bali kupiga vuvuzera.JPM with your team is excellent in Government supervision. Well done keep it up.
Jamani mbona mnatumia mitandao hii kudhalilisha viongozi namna hii!! Kimsingi upo uwezekano Mhe. RC alichelewa kufika kwa sababu zilizo nje ya uwezo wake na naamini taarifa iliwafikia wahusika.Tuache siasa za maji taka na kufiriska kimawZo. Mbona kwenye vikao vya chama fulani hivi cha siasa...
Ww acheni ushabiki wa kirofa, vile vifaranga vilikuwa na vimelea vya magonjwa ya ndege kwahiyo viachwe tu!!! Kama hujui jambo sio lazima uzungumze, utaumia na kesi isiyokuhusu
Alifikiri kuongea na wanahabari ni kama anapochangia miswada bungeni kwa dharau na kiburi. Anafananisha matusi anayomtukana mhe.ndugai na anamsamehe. Asicheze na cheo cha Urais.pamoja na prof. Kabudi kuwafundisha siku ile Bungeni akadharau. Sasa analia nini !!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.