Ndio anao na una sahihi ya mjumbe huyo huyo aliye muuzia dada yangu lakini mjumbe anamkana anasema mmiliki halali wa kiwanja ni dada yangu na kama dada ataacha kukifuatilia yeye atakiuza kwasababu kitakuwa hakina mwenyewe. Yeye anadai alinunua kabla ya dada yangu mwaka 2012.
Salaamu ndugu wana JF,
Nina dada yangu anaishi Dar es Salaam maeneo ya Tegeta kwenye nyumba ya kupanga ila alikuwa amefanikiwa kujikusanya kusanya na kununua kiwanja cha Milioni 11 mwaka 2014 maeneo ya Bunju B. Pesa hiyo ililipwa kwa awamu mbili kwa muuzaji chini ya uangalizi wa dalali na...
Poleni na Majukumu ya Kujenga taifa ndugu zangu!!
Mimi ni Mtanzania niliyesomea kuhusu mambo ya Uhifadhi wa wanyamapori yaani Bsc.Wildlife Management. Kutokana na wasanii wetu walio wengi kujikita katika uelimishaji wa jamii yetu kwa njia ya katuni katika mambo ya Siasa na mapenzi pekee, nimeona...
Ndugu poleni na Majukumu:
Samahan, naomba kwa watu wa Dar es salaam hasa Tegeta mwenye gazeti la Daily News la Juzi Jumatano Tarehe 23/09/2015 anisaidie. Ni muhimu sana wandugu nimelitafuta sijalipata!!.
Ndugu wana JF habari,
Ninapata ugumu sana inapokuja kwenye suala la Scholarship za kusoma nchi za nje, hasa kwa nchi zinazo endelea. Kuna Scholarship naziona mitandaoni kama zile za Undergraduate, Masters na Phd kwa nchi zinazo endelea, mfano Chevening, commonwealth, Fulbright, mastercard na...
Kubadilika kwa tabia,uvivu,maneno ya shombo...huanzia hapa!
1.Akinunua simu.........Muda wote kuchart na kuzijua ofa za mitandao yote ya simu nchini...
Mimi ni mpiga picha ambaye nilipiga picha mpiga picha aliyekuwa akiwa piga picha wapiga picha waliokuwa wanapigana picha, Je mimi niliwapiga picha watu wangapi??.
National Examination council of Tanzania(NECTA).Serikali kwa kupitia Wizara ya Elimu imefanya mabadiliko kwenye madaraja ya alama za mitihani ya Kidato cha Nne.Hapo awali madaraja yalikuwa ni kama ifuatavyo:A=81%-100%B=61%-80%C=41%-60%D=21%-40%F=0-20%Mabadiliko mapya ni kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.