jamani, mi mpaka leo siamini, na nashindwa kabisa kuamini ati mwalimu died a natural death, nop. Kuna wanaodhani hii nchi ni yao kuliko wengine, ndo walio fanya jitihada ya kufanya mwalimu asiwepo nadhani, no way, angekuwepo, nchi isingekuwa hihvi ilivyo sasa.
mm nazidi kushangaa sana tena Nilidhani Chikawe asingeweza kusema haya kwan inaonesha dhahiri kabisa kuwa hana uchungu wowote na analinda kibarua chake. Jambo linajulikana toka mwaka 2007 na ukweli upo wazi kwanini wazidi kuhangaika na kusubiri baraza amabalo halijaitishwa.Chikawe uelew wko ni...
Kwakuwa imeshajulikana wazi kuwa CCM wanaamuru na Serikali inatenda kupitia vyombo vya dola, basi, CHADEMA tupatieni modality, vjana tupo, kuupinga unyama wa aina hii na uvunjifu wa haki za binadamu wa makusudi kabisa. CHADEMA toeni tamko
Mungu aingilie kati mara ngapi, Katupa uwezo wa kufikiri, kuona na kutambua, katupa macho na mikono, ss tunajipigia tu kura. tufikiri kwa kina na kufanya mabadiliko
ni kweli mdau mhandisi, mi nashauri tuanzishe blog ya kihandisi na tuiite "the Slab Blog forum" na hapo tuwe tunaweka mambo yetu na kuonyesha our spirit, The FoE spirit.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.