Programming ina depend zaid na personality ya mtu. ukiwa unaweza kukaa 8+ hours reading something mpk uelewe thats green light, u need to spend alot of time kujifunza how stuff works, na huwezi kufanikiwa ikiwa huna passion.Last thing jitahidi usome kwa mpangilio ili usipoteze muda, so u need...
Nakupa pongezi mleta mada unaonekana una uzalendo wa nchi yako, hz ishu za upigaji ziko nyingi sana aisee, tusiwaone wajinga Korea na China wanaamua kutiana risasi kwa rushwa na ufisadi, sisi huku tunachekeana.
Hii dhana ya kukariri code basi ww ni programmer mzuri inawapoteza watu wengi sana, solving problemz skill ni key katika programming, syntax unacheki katika docs ya language/framework husika na ukitumia mara kwa mara unakumbuka.
Jamaa anazirudisha ela za watu mdogo mdogo, betting c k2 kizur aisee.. ila kwa mtaji alokuwa nao tipmaster ningekuwa ni mm naachana na betting.
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Ni kweli zamani ilikuwa ukibeti ela ya kutumia haikupigi chenga, ona sasa hata ela ya kunulia maji hupati.. ngoja tuwafuatizie wataalam hum, ni njia pekee ilobaki
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Dah me nina mpango wa kustaafu kamari rasmi, ikiwa wataalam wa mikeka kwao wahindi wanakomba salio lote me ni nani nitajirike kwa betting? Bora niendelee kuuza matunda hamna namna tena.
Angalizo: Hz options wanazotoa bookies wana jopo la wataalam washazipitia sana kitaalam na 70% zipo...
Yuko wapi? Kama una link weka hapa tumfuatilie, Watu wenye bahati wako mkuu huko yupo mwengne anaitwa tipmaster yeye kwa mwezi kuingiza zaid ya 30 m ni kawaida mzee.
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.