Wewe ndio fala ambaye hujawahi kumiliki hata ekari moja ya Shamba. Sisi tunaolima ndo tunaujua ukweli. We ni Mshenzi tu wa kiwango cha uprofesa tuliza makalio. Hapa ninavyokujibu nipo Shamba namalizia kuvuna Alizeti
Mimi ni pro Mkataba. Aliyetoa kauli ya ubaguzi ni Tundu Lisu. Unaowashutumu ni Watanzania wa Bara ambao umewaita Watanganyika. Kwa nini na wewe usiwekwe kwenye kundi la Wabaguzi?
Usemacho ni kweli kabisa. Nina Jirani nilimpa ushirikiano wote na hata mabati kama 60 hivi yaliyobaki, aliyahifadhi kwangu. Siku aliyokuja kuyachukua hakunijulisha na mbaya zaidi wakati wa kuyachukua walivunja kioo cha gari yangu. Nilipomuomba mchango wa kununua kioo, aling'aka na kuanza...
Usemacho ni kweli kabisa. Nina Jirani nilimpa ushirikiano wote na hata mabati kama 60 hivi yaliyobaki, aliyahifadhi kwangu. Siku aliyokuja kuyachukua hakunijulisha na mbaya zaidi wakati wa kuyachukua walivunja kioo cha gari yangu. Nilipomuomba mchango wa kununua kioo, aling'aka na kuanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.