Ndg,hiyo ndio asili ya waswahili, we mzungu mweusi hongera, ila sizani km ulishawahi kuishi nchi za wazungu si watu km hivyo mnavyofikiria wengi wenu, acheni ushamba kwa kuona kila kizr cha wazungu.
Tulikuwa na rais mkapa kiukweli alikuwa ni mkali na aliyeibinya democrasia, mfano wa kuminya democrasia ni kudumaa kwa vyama vingi, tulishuhudia magazeti mengi tu yakifungiwa.
Kaja KK kaiachia democrasi ichukue nafasi yake na ndio maana hata jamii forum ipo, mpaka waimba hip hop nao wabunge...
Pole sn ulimwengu JK sijui kakukosea nn? hii si mara ya kwanza kumuandama, pamoja na kuwaachia uhuru wa kuongea haimaanishi uongee chochote km ajakupa shavu ww kampa mwenzio maana tupo wengi.Lkn nikuulize unaijua vzr SYIGON?????????????? Acheni wivu wa kike JK amefanya mengi sn mazuri tatizo...
Kwani kafa Mwangosi tu???????????? au yule wa moro sio mtu???????? Acheni ubaguzi thamani ya roho ni sawa tu hata km muuza magazeti.........................
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.