hamjapewa nchi mnagombana je mkipewa itakuaje............... kweli siasa sio hasa wanapigania matumbo yao tu.............ukombozi wakweli utaletwa na mwana nchi mwenyewe na sio hawa wapigania matumbo yao..............
ivi cuf iliyo huku bara si ndio ikle iliyopo kwenye sirikali kule znz...so chamamakimoja kitakuwaje na vyeo viwili huku chama tawala na kkule chama pinzani in one country... kweli hawa jamaa hawakufikiria kabisa walikuwa na uchu wa madaraka tu... hivi huyu maalim seif amefanya nini kule znz cha...
kweli wafuasi wengi wa ccm b hawajitambui kabisa kila wakibanwa kwa hoja wao wanaletaudini kam huyu jamaa hapa toa sera jombaa naona unatoa pumba tu...........cdm haijabebwa na mfumo kristo..........ila dunia nzima inatumia mfumo kristo...angalia tarehe kama unabisha andika leo ni mwaka wa 1400...
ivi huyu dovutwa katokea wapi tena......... hafanyi kampeni kutangaza chama chake yeye anadandia hoja za watu.........kweli hivi ndio vile ccm b.......... yeye atoe hoja yake na sio kujipatia umaarufu kupitia hoja ya slaa.........ebooo!!!
mbuzi wa masikini hazai akizaa anazaa chongo........... makelele yote ya kuvua gamba sijui yameishia wapi.........masikini kijana huyu alifikiri ssm ni yakwake..........kumbe hajui ina wenyewe ................. akajipange upya sasa......na edo akikamata nchi nape kwishney atasahaulika kama...
huyu jamaa sijui anafanya kitu gani........ anajitafutia umaarufu tu hakuna anacho saidia jamii yake,,,,,,,,, sio lazima awe serekalini ndo ajenge uchumi wa watu wake kwanza hapo cuf amesaidiaje uchumi wa chama.........cz mtu huanzia kwake kwanza...........kijijini kwao wanatambua mchango wake...
mkuu mbona hiyo ni mpya umeipata wapi wewe what is ur source of info mkuu au ni kama wale wazee waliomuomba msamaha pinda kwa kuzomewa........wakidai that vijana hawana maadili...........wakasahau nao wazee hawana maadili............
Watu wenye mawazo mgando kama hawa wanamatatizo sana, wanatoa maada zisizo na msingi ili mpoteze muda kwenye kuzi jadili.
Viongozi wao walisema huuni upepo utapita tu lakini wameshaanza kutapatapa,waliviita vyama vya msimiu lakini msimu wake haupiti tu.
Hawa watawala inawapasa wakaee pembeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.