Hahahaa kuna kipindi Quality centre kulikua bar inaitwa Savannah, wale Jamaa walifunga AC km 8 hivi ukiingia pale unakunywa vyombo vya kutosha na unakua fiti tu ila ukitoka nje ndo unaanza kujiona umelewa
Kiafya yes its true..baridi it takes time kulewesha but ya moto inaanza kufanya kazi as soon umeenza kunywa...that's why ukinywa kilevi Iringa au moshi yaani sehemu za baridi mlipuko wake ni tofauti na sehemu za joto au ktk AC
Hahahaaaa you are right ila wadada wamjini wanaagiza za baridi, so km sio wako ndo first appointment anaweza baki salama
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.