Ukivamiwa na nyuki, chunga sana sehemu ya kichwa.
Fanya liwezekanalo kufunika kichwa.
Ni sehemu pekee inayotumika kupumua , kuona na kuongea.
Baada ya kufunika USO na kichwa chako Fanya chochote kubadili harufu ( pheromones) , washa moto na ujifukize moshi wake , ama kimbia welekeo wa upepo au...
Hadi sasa hakuna aliyevimbisha ubongo wake kuvunja record yairadi na creative thinking.
SGR ya Umeme, MV Mwanza, Nyerere hydropower , Acacia , Hospitals, Shule bure, mikopo chuo etc.
Wore wanatapatapa humo humor kwa JPM...huo ndiyo utakatifu.
Mungu na ambariki daima.
Kweli Makamba hata kufa, pamoja na watu wote wa pwani.
Waliomuua JPM wata tamalaki milele, waliosuka njama za mauji kwa simu zao mchana kweupe na kurekodiwa ni wastaarabu milele.
Simu za watu wa pwani zilidakwa , Makamba na Genge lake wote wa pwani
Leo mmezuia watu kwenda kupanda viazi , kesho hivyo hivyo , subirini njaa , sisi tuko shamba tunapanda viazi na mihongo... Mjuaji msubiri kwenye msosi , mtakula mikutano na maandamano uchwara.
Pambaneni sasa, mikutano kila uchao na maandamano usiku kucha, tuone kama mtalima na kupanda kabla ya mvua hazijakata Feb.
Kama una hoja njoo uonyeshe hekari za mpunga utakazo panda na kuvuna kwa mikutano ya kisiasa
Una andika ujinga , JPM is dead.
Sasa unakesha huko makaburini Chato , unaakili sawasawa?
Jenga hoja kwa walio hai. Mwache JPM alale kaburini. Rudi utuambie kwa nini Tundu Lisu ni wakala wa Madhoga na walawiti afrika.
Jikite kwenye uhuni na Ushenzi wa kufilana anaoutetea kama ni sawa ama siyo...
Upuuzi mtupu.
Siyo kila sheria iko sahihi na imejazwa haki.
Mfano.
Sheria za environmental zina piga marufuku Nyerere damu, Lakini zinayaacha mabwawa ya Owen yakiharibu mazingira.
Sheria zinaruhusu uwepo wa wauaji ili police wakalinde. Wasipolinda sheria inawatia hatiani.
Kwanini usivunje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.