nimefuatilia sana kinanchoendela juu ya mzozo wa iran na israel kwa kusoma makala mbalimbali za kiuchambuzi na nimugundua yafatayo kwa uchache sana
1-iran ilikuwa ina wajibu wa kulipa kisasi na ni haki yake kwa mujibu wa mkataba wa kimataifa wa vienna,ambao unasema kuwa ubalozi wa nchi moja...
Wanajamvi heshima kwenu,katika pitapita zangu mtandaoni nilibahatika kukutana na notisi nzuri sana kwa watoto wa shule ya msingi, kupitia forum ya "msomi bora" kwa bahati mbaya sana notes hizo zimezuiliwa yaani huwezi kuzidownload katika mfumo wowote iwe nI PDF au hata Doc kwa maana uweze...
Wadau,naombeni msaada kujuzwa namna ya ku-add mziki uupendao instagram pindi unapotaka kupost insta feed au story.miziki niitakayo mfano ya kibongo kwenye search box yao haipo,natanguliza shukran
Habari wakurungwa,
Nina shida na vitabu mbalimbli vya kiacademic mwenye kufahamu wapi (mtandaoni, aidha telegram au website au mahali pengine popote) ambapo naweza ku access free pdf books hasa za ki- academic, nahitaji huo msaada.
Natanguliza shukrani.
habar mimi ni kijana wa kiume umri,miaka 33,muislam,maji ya kunde,mwajiriwa serikalin idara ya utawala
natafuta binti wa kuoa umri wowote ila akiwa mdogo zaid yangu itapendeza ,elimu kuanzia kidato cha nne,awe muislam,mzur wa tabia na sura + shape ,nasisitiza awe mzur wa sura,vijana wa kileo...
Wakuu habari, tafadhali naombeni msaada kwa muda sasa kila ninapojaribu kusign in kwenye Instagram account yangu inaniambia 'An unkown network error has occured'.
Msaada nimejaribu ku uninstall kisha kuinstall tena app haijasaidia, nimejaribu pia kuclear cached data pia haijasaidia, muongozo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.