Unatumia uzazi wa mpango?
Angalia bra unazovaa zonabana sana au unatumia any tight in
Una allergy yoyote unayoifahamu katika mwili wako (pumu ya mapafu au ya ngozi, kutokwa na vipele vingi ukinyoa, kuwashwa sana Kwa kitu kidogo tofauti na wengine)
Umebadili mavazi au aina ya mafuta cream lotion...
Unapotoa wasifu wao unasema kwamba ni wazuri INA maana unawajua Kwa sura au wameweka dp zao za uhalisia,, kuhusu wasifu wa uchangiaji humu ndani sina swali
Hilo ndo LA msingi inarange 30 mpaka 50 inawezekana kachukua ya Maji ila don't care nachojua hiyo ni dawa nzuri na ndio iliyopendekezwa evidence based kuwasaidia kina mama kuanza uchungu kama amefika miezi Tisa na Haina madhara Kwa mama na Mtoto tumwombee Afya njema ya uzazi
Nashukuru kama unafahamu sasa ongeza na ethics zako utagundua hicho kinachofanyika tunatumia ignorance ya tunaowahudumia so hatutumii uzoefu kwamba hospital zinatumia Basi Hata kwenye mitandaoni tuandike
Nikupe ushauri wa bure najua una elimu ya level Fulani naheshimu hilo
Misoprostal haijaidhinishwa wala kuruhusiwa na wizara ya Afya ya Tanzania Kwa matumizi hayo so saying ukitumia ikimletea madhara Mgonjwa wizara INA uwezo wa kukusimamisha kazi
Misopr imeidhinishwa wa management ya PPH PEKEE...
Haya ndo yanatokea pale unapoomba ushauri kwa mitandao ushauri kwenu
Mgonjwa mjamzito kukaa hospital siku Tatu tano bila kujifungua uchungu wa kweli ni kawaida
Hospital nyingi za Tanzania hazina sawa za aina nyingi
Tunatakiwa kuelewa majukumu ya kazi ya Dr na muuguzi
Kuna tatizo LA kupata...
Wenye Haki mbele za Mungu duniani wanauwawa unajua Hata katika historia ya maandiko @Yesu maandiko ya dunia Gadafi waliosema ukweli na kiwapatia mafanikio positive wote walilipia Haki Kwa damu zao
Unajua Hata katika maandiko kulikuwako na mgawanyo wa watu enzi za Yesu hawakuchangamana ila wale walioguswa na Mungu Samaria na wayahudi inwezekana kabisa Nyalandu ana mguso positive
Nafsi iponyayo ndiyo itakayoishi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.