Ukisikia kuna watu wendawazimu ndo kama hawa. CCM watateseka sana, Slaa the president to be watake msitake. Jaribuni na kumuuliza JK wenu ni kwa nini hatumpendi tulio watanzania wa ukweli
UDOM-Daima kitabaki chuo cha CCM, chuo chenyeye cha kichinachina, majengo hata hayajamaliza miaka 5 yameanza kubomoka! na mkumbuke kuna tetesi Gadaff anahusika na hicho chuo ila wezi wa pembe za ndovu hawataki tu kusema. Ukiongozwa na mtu anaeyeendekeza udini ujue haufiki popote...
Nashukuru Mungu sana kwa kuniepusha na hili janga la T....CCM. Nilikuwa na mawazo sana na hiyo no. Pole mkuu I feel how much unaichukia CCM, cz na mimi naichukia ile mpaka hatari
Nipo jimboni kwake hapa kuna wasukuma wananiambia kuna mtoto wa kigogo mmoja ananunua pamba kwa bei ya kuwalangua wakulima Tsh 600 kwa kilo last year ilikuwa 1000-1200, na maroli yake yanapishana kama daladala za kwenda Kivukoni. Hii inchi noma, Tembea ujionee
Nikiyaona magamba mimi mwenzenu nalia. Moyoni naumia"!!! Katika kuja kwangu humu duniani Chadema wanikosha, hakuna mwingine ila ni wewe tu CDM uliyebaki kuwa tumaini langu. Lema Lema ni wewe uliye wa watu na Mungu anakuona
Na yule dada aliyekuwa secretary wa Mwakyembe umemsahau, alikuliwa baada ya insue ya Mwakyembe kugundulika kawekewa sumu kwa njia ya sabuni na kwenda kuzikwa kwao Ipinda Kyela
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.