WAZIRI WA ELIMU, NAOMBA TUOKOE HILI KUNDI NGUVU KAZI YA TAIFA YA KESHO.
Kwa hali inavooendelea huu ugonjwa kusambaa haikwepeki lakini ni lazima tupunguze namna ya ueneaji wake na katika jamii yetu ya Kitanzania na ulimwengu kwa ujumla kundi la wanafunzi lipo katika hatari kubwa ya kupata...
Sherehe ilifana sana viongozi kiba wahudhuria akiwemo rais mstaafu wa awamu ya pili Mzee Mwinyi.
VIONGOZI mbalimbali Wastaafu na waliopo Madarakani wakiongozwa na Rais Mstaafu Alli Hassan Mwinyi wamepamba harusi ya Mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa, Robert Lowassa na mkewe Stephanie...
Wadau naomba kujua wapi nitapata aina hii ya mifuko kwa bei ya jumla kwa Dar au Arusha. Au hata kama ushawahi kununua bei zake zinaendaje. Maan naona ndio itakuja kuwa mbadala wa mifuko ya nylon nahisi future ya biashara ya vibebeo iko huku.
Naomba mwenye kujua wapi wanasajilia majarida ya matangazo kama Advertizing Dar,Buy&Sel, City Advert ambayo wanayagawa bure lengo likiwa ni kutangaza biashara kwenye hayo majarida.
Wenye ujuzi nataka kupata ISSN number kwa ajili ya hilo jarida.
Je viongozi wetu kuna lolote walilojifunza kutoka kwa Marehemu Magreth Thatcher katika kipindi cha uongozi wake na baada ya kifo chake.
Ilikuwa ni ajabu na kweli miji mikubwa yote ndani ya UK ilifurikwa na sherehe za kufurahia kifo chake huku waandamanaji wakibeba mabango yenye ujumbe wenye...
Wakati babaake Bryan Jackson alipomdunga sindano ya virusi vya HIV mwanawe mchanga, alitumai kwamba hatamuona akikuwa.
Hakuna mtu aliyedhani kwamba miaka 24 baadaye atakabiliana na mwanawe mahakamani ili kusikiliza athari za uhalifu alioufanya.
Wawili hao walikutana mahakamani licha ya...
David ni mtoto wa tatu wa Jack Robinson mchezaji mmarekani mweusi wa kwanza kucheza major league ya Baseball aliyekumbana na ubaguzi mkubwa wa rangi kipindi anaanza kucheza na kugeuka kioo cha jamii ya watu weusi marekani katika kupigania haki ya kukubalika na kupewa haki sawa na watu weusi hata...
Huyu ni mtanzania ila bahati mbaya hapa home(Tanzania) hajulikani ila kwa UK naona yuko moto siku si nyingi atakuwa mbali sana.
After spending his early childhood in Tanzania, Tiggs moved to London at the age of eight. By eleven, he had discovered music - but his tastes lived and died by what...
Tanzania inatarajiwa kusajili kiwango cha juu zaidi cha ukuaji wa uchumi wake mwaka huu katika kanda ya Afrika Mashariki na kati.
Hii ni kwa mujibu wa ripoti ya shirika la fedha la kimataifa - IMF.
Katika ripoti yake iliyotolewa hii leo Tanzania inatarajiwa kusajili kiwango cha juu cha ukuaji...
Wanafunzi waliochaguliwa scholarship za Mozambique mwaka wa masomo 2015/16 mpaka sasa hawaeleweki wataondoka lini au ndio zishaota mbawa maana walitakiwa kuondoka mwezi wa 2/2016 lakini mpaka leo wanapewa majibu yasiyoeleweka na wizara kwa kutokuelewa kuwa wataondoka au ndio basi tena. Wenzao...
Nikisikia matangazo ya mshirika tajwa hapo juu ya ndege ambayo ni ya Africa Mashariki huwa napata msononeko sana moyoni naona kama Tanzania viongozi wake hawapo serious kabisa.
Vitu ambavyo vingekuwa chanzo cha mapato makubwa kwa taifa hasa ambalo lina vivutio vya kutosha vya kitalii ambavyo...
Pushing heroin through South Africa:
The telephone line distorts.
“We need to hurry up man, seriously dog,” says Mark*, the American voice on the one end of the line.
“If these people leave, somebody owes me money, dude, because I am not carrying that shit.”
“Okay, there is no problem...
Naona karibu taasisi zote za serikali wakuu wote walioudumu katika kipindi kilichopita wana harufu ya ukiukwaji wa maadili katika utendaji wao au kushindwa kuwasimamia wafanyakazi waliochini yao.
Sasa naona ni muda mwafaka kwa serikali kutangaza kufuta ajira zote za wakuu katika halmashauri na...
Baraza kuu la chama cha CUF chini ya mwenyekiti wake wa muda wametangaza kutokushiriki uchaguzi wa marudio Zanzibar.
==============================
AZIMIO LA BARAZA KUU LA UONGOZI LA TAIFA KUHUSU TANGAZO LA MWENYEKITI WA TUME YA UCHAGUZI YA ZANZIBAR LA KUITISHA UCHAGUZI WA MARUDIO ZANZIBAR...
Prof Msofe ni jembe sana na msaada sana kwa wanafunzi hasa undergraduate wanamjua sana na naona hiyo kamati iliyomchagua imeaona mbali, bravo.
APPOINTMENT OF DEPUTY VICE CHANCELLORS OF THE UNIVERSITY OF DODOMA
The Chancellor of the University of Dodoma; H.E. Benjamin William Mkapa has...
False rumours that the long serving President of Cameroon, Paul Biya, who has been in power for 33 long years and is 82 years old, had resigned spread on the Internet on Wednesday and Thursday morning.
Although the information is false according to officials, it might be an attempt by some...
Ni muda mrefu kidogo toka website ya wizara muhimu ya elimu kutokuwa hewani sijui watu wa IT wa wizara wanafanya kazi gani au kazi yao kubadilisha wino kwenye pinter
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.