Search results

  1. N

    Kila mtu ana kwao, Kila mtu afe na kwao, Bongo au zenji chagua moja

    Mimi ni mbongo kama ulivyo wewe lakini tukiwatenga wazanzibar tukidhani sisi ni wamoja tunajidanganya. Ukishajitambulisha kwa ''u-bongo'' wako utakuta walokuzunguka si ndugu zako,kabila lako,rangi yako au dini yako. Kama kweli mimi na wewe wote ni wabongo mbona ukienda lala unafunga mlango kama...
  2. N

    Mtikisiko Tanesco;WAFANYAKAZI MAMIA WAPANGULIWA, WENGINE WAFUKUZWA, KISA TUHUMIWA ZA WIZI, HUJUMA

    Nakushauri nenda ofisi zao utapata utaratibu kamili, kwa waliokwisha enda nimeambiwa ni laki mbili kama nyumba haiko mbali kiasi cha kuhitaji kuweka nguzo.
  3. N

    Mtikisiko Tanesco;WAFANYAKAZI MAMIA WAPANGULIWA, WENGINE WAFUKUZWA, KISA TUHUMIWA ZA WIZI, HUJUMA

    Gonjwa sugu linahitaji matibabu sugu pia. Angalau wananchi tumeanza pata ahueni juu ya uunganishaji wa huduma ya umeme na tunapata umeme wa uhakika.
  4. N

    Lowassa aenda Ujerumani kwa matibabu

    Tunakuombea upone haraka maana bado tunakudai mengi na hujalipa kwa maana malipo huwa ni hapa hapa duniani.
  5. N

    Hongera Dr. Mwakyembe, hongera TRC

    Maendeleo hayana chama sote wananchi tunampongeza!
  6. N

    Hongera Dr. Mwakyembe, hongera TRC

    Hatimaye haki imeshinda udhalimu.
  7. N

    J. K Nyerere: 'Malecela na Lowassa hawafai urais Tanzania'

    Mnasema Lowassa ni Tajiri ana uwezo wa kununua wajumbe na ameshaweka mtandao wa kumpitisha 2015! Kumbuka pia J.K.Nyerere aliwahi kusema yafuatayo baada ya kucheki afya yake ''Hivi sasa nina afya njema na nina uhakika nitamwona Rais ajaye wa awamu ya nne yaani 2005'' Je alimwona? Kumbukeni...
  8. N

    Ahsanteni sana Marando, Prof. Safari kwa kutuonyesha undani wa Chadema

    AMA KWELI NIMEAMINI MSEMO KUWA ''RUSWHA HUPOFUSHA UFAHAMU'' AMKEMEAYE MWENYE DHARAU HUJIPATIA FEDHEHA (Mithali.9:7)
  9. N

    Prof. Muhongo ampiga dongo Zitto Kabwe(?)

    Zitto tusikilize ushauri wake wa nini wakati alishauri nchi inunue haraka mitambo ya Dowans la sivyo nchi itaingia gizani wengine tulianza kumwamini... Loh: Kumbe mgao ulikuwa wa kutengeneza! Nani alikuwa nyuma yako Zitto ukatusaliti Watanzania bila hata huruma! Shukuru sana uko Tanzania...
  10. N

    Siasa ni Hesabu. Anayebisha Amuangalie Lowassa Halafu Awaulize Sitta na Nnape

    NURU YA MWENYE HAKI YANG'AA SANA, BALI TAA YA MTU MWOVU ITAZIMIKA. (Mithali. 13:9).
  11. N

    Huu hapa ndio ukweli kuhusu kinachoendelea sasa Zanzibar

    Serikali itangaze kuwa UAMSHO NI KIKUNDI CHA UGAIDI KAMA ALIVYOSHAURI MZEE MWINYI ALIYEKUWA RAIS WA AWAMU YA PILI! Hapo itakuwa rahisi kulitatua suala hili maana wakitangazwa magaidi, Serikali itawashughulikia kwa sheria za ugaidi zilizopitishwa na Bunge. Pia Marekani watakuja kuwachukua watu...
  12. N

    Tundu Lissu na Kiinimacho cha Muungano

    Serikali ya Muungano uisemayo ya baba mwenye watoto wawili haipo! Iliyopo ni Serikali mfano wa Baba aliyeungana na Mama, na Akazaliwa mtoto(Tanzania), Baada ya kuzaliwa mtoto, Baba akafariki, mama akaendelea kuishi, Utakubaliana nami kuwa baba aliendelea kuishi kupitia mtoto kwa maana mtoto...
  13. N

    Tundu Lissu na Kiinimacho cha Muungano

    kweli itabaki kuwa kweli hata kama kweli hiyo inatoka kwa kinywa cha adui yako! Serikali tatu zitaongeza mzigo kwa wananchi na itashawishi kuvunja muungano! Wazanzibari au watanganyika wenye mawazo ya kujitenga hawatabaki salama kamwe. Sisi ni watanzania chonde chonde tusichague uasi bali...
  14. N

    Jussa na Seif mnawachelewesha Wazanzibari kuwa "huru kamili"!

    hoja hapa sio wao wazanzibari na sisi watanganyika! Watanganyika tusijidanganye kuwa tutabaki salama baada ya kushabikia zanzibar wajitenge, tambueni wanasiasa ndo wanaowashinikiza wananchi kujitenga. Tujivunie utanzania wetu na si utanganyika au uzanzibari kwa sababu sisi ni ndugu wamoja...
  15. N

    Hoja za Mwalimu Nyerere kupinga serikali tatu Tanzania

    Kama ulipita shule kidogo utakubaliana nami kuwa 1+1=2 na sio 3, Kama unaunganisha wanandoa 1+1=1 yaani wawili wanakuwa kitu kimoja. Nakubaliana na Mawazo chanya ya Nyerere ya kuchagua Serikali mbili badala ya moja sababu alihitaji muda kuunganisha watu ili waelekee kwenye ndoa kamili ya...
  16. N

    Tuko tayari kuingia uchaguzi 2015 bila katiba mpya?

    katiba mpya iliyokamilika ni muhimu kuliko uchaguzi wa 2015.
  17. N

    Tuko tayari kuingia uchaguzi 2015 bila katiba mpya?

    Tunaandika katiba mpya sababu kuu ikiwa kwamba iliyopo ina viraka vingi, Iwapo tumefika 2015 na haijakamilika, Tutaweka kiraka kingine cha kuruhusu tume huru ya uchaguzi? au tutakubali kuingia uchaguzi 2015 kwa katiba hii hii yenye kutambua Tume ya uchaguzi iliyo chini ya Rais? Lipi gumu...
  18. N

    Kambi ya Lowassa Inapumulia Mashine ndani ya CCM, Ndoto za Urais zazidi kuota mbawa

    Edward Lowassa kupendekezwa kugombea urais zitabaki kuwa ''Ndoto'', Tena ndoto ya mchana kweupe ni Kufikiria kuwa anaweza kuchaguliwa na watanzania kuwa Rais 2015. WANANCHI HIVI SASA HATUFIKIRII NANI ATAKAYEKUWA RAIS 2015, BALI KATIBA MPYA ITAKAYOTENGENEZA MSINGI NA MFUMO BORA WA KUONGOZA...
  19. N

    Ni vita: Lowassa, Sumaye, Mwandosya - Madai ya matumizi ya fedha chafu yaibuka; Udini na Ukabila

    Ni makosa makubwa kufikiri kuwa Lowassa,Sitta,Membe,Zitto,Makamba au A.Migiro wana nafasi kuongoza nchi kwa tiketi ya C.C.M au chama chochote cha Upinzani! Nionavyo mimi Rais Kikwete ataendelea kuwa madarakani hadi nchi ipate katiba mpya kwa shinikizo la wananchi na huo ndo utakuwa mwanzo wa...
Back
Top Bottom