Boss hacha ushamba kariakoo zipo kibao izo machine wanachikufanyia hao watu unawaona mtaa ni kukuficha kuwa machine izo hakuna ili uwape simu yako wakafanye iyo kazi kwa watu wenye machine
Hakuna machine kariakoo za simu kariakoo hakuna tafuta mtu aliyopo ambaye siyo dalal kariakoo atakuonesha...
Unataka kufanya kazi gan na iyo gari kama kazi ni ngumu kama kufuta trailer la kokoto au kwenda rafu road chukua howo au faw ndio gari za kazi ngumu na spare bei chini
Kama transt chukua scania inategenezeka na spare bei chini
Kama ndio unaanza nakushaur sana chukua scania
Benz ni nzur kuliko...
Hacha kutumia lugha chafu kwa kitu ambacho hakikusaidii kitu huwezo wa kununua hata rav4 hapo huna sema unatumia lugha kali ivi
Unaonesha ni mtu wa namna gani
Ni mtu wa hali ya chini so sibishani na ww tena coz nimeshajua ww ni mtu wa hali gani coz ya maneno unayotumia
Umeshinda
Bei ya iphone miliman city 2000 usd kwa iphone 12 pro max lakin iyo iyo simu iphone 12 pro max inauzwa 1000 usd usa kwny apple store zao
Inategemea na deal anauzaje ?
Deal wa toyota tanzania anabei juu lakin anafanyia service iyo gari kwa miaka ata mitano inakuwa chin ya usimamizi wake
Toyota...
Unafanyanisha land cruiser na izo box za mmarekani cadillac escadale gmc hahahahahahah!
Hacha kufananisha land cruiser na vitu vya kijinga
Land cruiser bei yake ni kama mara mbili ya escalade angalia mwenyewe soko la marekani
Boss naona kama unaleta ubishi nimekwambia sheria ya tanzania harusu kununua kitu chochote used liwe gari ndege au boti sasa unavyoniambia kuwa kuna magari serikali imepiga mnada sasa mm naongea sheria ya manunuzi ww unaleta ubishi nashindwa kulewa unataka nn ?
Kuna mzungu moja alikuwa anatoka uswiss kuja bongo kwa mara ya kwanza alikuwa anataka kutoa misaada kwny ego moja hapa mjin sasa tunatoka kumchukua airport tunaenda nae Ostabay njian anaona vx kibao yanaposhana mpaka tunafika Ostabay next day tukamchkua kwenda nae mjini.
Mzungu akachoka akabidi...
Nenda pale toyota tanzania uliza bei watakwambia tu alafu mje kuongea hapa
Coz wote hajui iyo gari ni bei ngap?tusibishane kesho nenda pale post ya zaman wanazo watakwambia vx-r bei ngapi 2019
Serikali hainunui mitumba baba sheria ya Tanzania haruhusu kununua gari used unaweza kufungwa harusiwi hata siku moja hiyo ni petrol hamna gari hapo ni kuweka mafuta tu kila siku
Toyota Tanzania hawauzi gari used mkuu ni 0km tu
Na ni ya mwaka 2019 iyo bei ipo juu sana.
Usifananinshe hiyo gari ya toyota Tanzania na zile used za Japan ambazo ni petrol zinakula mafuta sana.
Hiyo ni ya diesel bei yake ipo juu na inakula mafuta vizur sana
Ndio nataka kununua hisa bt nataka kupata mbongo mwenye experience kwenye kununua online.
Broker mzuri wanamsifia anafanya kazi mpaka bongo ni interactivebroker
Nachotaka mm kupata mtu hapa bongo mwenye experience kwny ili coz step zote naweza lakin unaweka ela unaweza kosea kitu kidogo ela...
Mimi nataka kujua kuhusu stock market na siyo forex currency
Nataka kununua share kwny makampuni makubwa kama vile facebook,tesla, cocacola, amazon nasiyo forex currency
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.