Huenda hatuongozwi, bali tunatawaliwa.
Huenda wanaotutawala na watu wajinga, wasiojua Katiba ni nini.
Huenda kwa ujinga wao, basi wanaamini kuwa uongozi ni kufuata Utashi wao na siyo kuzingatia Matakwa ya Katiba.
Na huenda kwa ujinga wao, wamewakumbatia wale wanaowasujudia na kuwalamba viatu...
Kwamba kipimo cha Uanaume ni kufuatilia kitu ambacho huna Interest nacho?
Kufatilia Mpira ama Ndondi zinaongeza nini kwenye Uanaume ama napungukiwa na nini nisipojishughulisha navyo?
Enzi hizo hapakuwa na hizi Takataka zinazojiita Chawa.
Viongozi walikuwa Real, hawakuwa wakipewa sifa za Uungu na wala kujiona wao ni Wa Pekee kama ilivyo sasa.
Spika amewaza Serikali imemnunulia V8 la Nusu Bilioni na huku kuna Mashule na Taasisi za Serikali hazina Vyoo, huenda nafsi imemsuta akaona azime mjadala kibabe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.