Huyu Dau amenikera nimemchukia na ukoo wangu wote, yani hii nchi mnyonge mnyongeni, kwavile wao wameshajilimbikizia mali wana zakuwatosha. Leo hii nisubiri miaka 55 naishi nyumba mbavu za mbwa, watoto hawakusoma, hiyo hela itanisaidia nini wakati huo, nguvu yenyewe sina wakati huo hata nguvu...
Naona wewe Wagaba ulikuwa zzzzzzzzzzzzz hukujua kilichoendelea usiku unaweza ukaibwa na familia yako bila kujitambua! kwa kawaida Tanesco ndo wakwanza wangetoa tangazo lkn wamekua kimya na si maramoja, mambo ya simu hayajaanza leo kutoa report za uongo kumbe kuna uhalifu either unatendeka mahali...
CCM hawajickii vibaya hata kusema wanakikao na kuanza kujadili m4c??? Nafkiri hawana kazi kila kukicha wanakuna Vichwa kuhusu cdm maana ni kiboko yao, mauwaji yanafanywa na uongozi wao na sio chadema,siku zote cdm ikiwa na mikutano yake polisi wasipokuwepo hakuna kinachoharibika NI AMANI FULL...
Tanesco tunaomba kupata taarifa,tatizo la kukatika umeme toka juzi masaa ya jioni kuna tatizo gani?????????
Usiku umeme unakatika karibia mara 5 na kurudi mnatuharibia vyombo, tupeni taarifa kuna tatizo gani???:baby:
Waandishi woga wekeni pembeni jikomboeni, hii serikali bila bango haitendi haki,tafadhalini jikomboeni tutawaunga mkono, bila nyie tutauwawa wengi na kuchimbiwa kimyakimya nani atatuhabarisha.
tatizo kuna watu wanapenda kula mno njiani bila kujua hata usafi wa anachokula,mf mtu anatoka moshi -dar kila basi likisimama anashuka kwenda kula ataacha kuchimba dawa kila kichaka, kukaa kutwa nzima bila kula utakufa? kwa mantiki hiyo vyoo vijengwe basi, kama mabasi yangeweka vyoo vya ndani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.