Habari zenu Wakuu natumaini muwazima…kuna hii gari inaitwa Nissan bluebird yenye 1490cc,nilikuwa naomba kwa yeyote anayeijua je ni nzuri kwa kuzingatia upatikanaji wa spares na matumizi ya mafuta?
Sikonge Tabora umeme ulikatika jumamos saa 2 usiku umekuja kurudi leo jumatatu saa 1 jion na ilipofika saa 3 usku umekata tena,imagine toka jumamos umeme haujaonekana mpaka leo jumatatu si hatari hii.
Mkuu huwa naweka chaji pindi umeme ukiwepo tu maana huku huwa unashinda jioni unakatika,ila inajaza kabisa mpaka 14.5V..wakat mwingine tunashinda bila umeme so huwa natumia jion umeme ukirudi nawasha inachajiwa had asubuhi,ni kitendo cha kuwasha switch tu
Mkuu inawezekana kabisa hata mimi natumia hivyo,nina battery 150Ah na inveter ambayo ina chaji battery umeme ukiwepo inajaza tena full kabisa,umeme ukikata kuna switch nabonyeza tu kwenye hyo hyo inverter naendelea kula maisha na smart tv inch 40..inverter nimenunua 50k ila kwa mjini nina...
Habari wadau,sina uzoefu kabisa wa Magari ila kuna hii gari inaitwa Honda fit naziona sana zinauzwa bei rahisi kiasi kwamba naona kabisa naweza nikaimudu kununua.Naomba kuuliza wazoefu kuhusu hii gari hasa upande wa mafuta na upatikanaji wa Spare parts zake kwa matumizi ya kuendea na kurudi...
Dah nilivyoona Aston villa 2:2 Burnley nika cash out maana nilimpa Aston villa ashinde & over 1.5,matokeo yake nikapata 4000,kuja kuchek livescore Aston villa kashinda imeniuma sana kukosa zaidi ya 60K.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.