Jamani huyo ni tajiri na alishaambiwa akitaka biashara zake ziende vizuri ni lazima awe CCM, tatizo lenu ninyi mnafikiri kila tajiri ni kama Sabodo, ndugu yangu inategemea utajiri wako umeupata vipi ili uwe pro au against the state!
sor wadau nipo kwa Nadra sana Humu , ni mil. 35 negotiatiable, karibuni sana niliogopa kuweka bei ya kuanzia nisije kuwafukuza hata kabla hamjaona uzuri wa kiwanja na eneo nilisahau kuweka hapo eneo lina hewa saafi kabisa like that of beach
haijafanyiwa finishing especially nje, no hati but only offer, umeme sola, but access to ni post 1, imemiminwa zege read to receive tiles ,ni mpya, Maji yapo ie taped water
Nyumba inauzwa bei rahisi kabisa, eneo la Mbezi ya Kimara km 2.5 hivi kutoka Kituo cha daladal temboni, Wahi bei Rahisi madalali hawatakiwi Mwenye Nyumba no. 0782052701
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.