Search results

  1. M

    Usaliti wa IPP kwa wanahabari; Unachukuliaje?

    Jamani huyo ni tajiri na alishaambiwa akitaka biashara zake ziende vizuri ni lazima awe CCM, tatizo lenu ninyi mnafikiri kila tajiri ni kama Sabodo, ndugu yangu inategemea utajiri wako umeupata vipi ili uwe pro au against the state!
  2. M

    Mgomo: Madaktari waiangukia serikali!

    wasikilizwe ni motive za kiuanafunzi tu ziliwasibu
  3. M

    Nyumba Inauzwa Vyumba 6, Jiko, Sebule Kubwa, Store Vyoo vya ndani na nje DAR

    sor wadau nipo kwa Nadra sana Humu , ni mil. 35 negotiatiable, karibuni sana niliogopa kuweka bei ya kuanzia nisije kuwafukuza hata kabla hamjaona uzuri wa kiwanja na eneo nilisahau kuweka hapo eneo lina hewa saafi kabisa like that of beach
  4. M

    Nyumba Inauzwa Vyumba 6, Jiko, Sebule Kubwa, Store Vyoo vya ndani na nje DAR

    hey jamani si guest, tena nilikosea kidogo, vyumba 6 na sore na kitchen inclusive hivyo ni vyumba vya kufaa kulala in 4 sorry for that
  5. M

    Nyumba Inauzwa Vyumba 6, Jiko, Sebule Kubwa, Store Vyoo vya ndani na nje DAR

    haijafanyiwa finishing especially nje, no hati but only offer, umeme sola, but access to ni post 1, imemiminwa zege read to receive tiles ,ni mpya, Maji yapo ie taped water
  6. M

    Nyumba Inauzwa Vyumba 6, Jiko, Sebule Kubwa, Store Vyoo vya ndani na nje DAR

    Nyumba inauzwa bei rahisi kabisa, eneo la Mbezi ya Kimara km 2.5 hivi kutoka Kituo cha daladal temboni, Wahi bei Rahisi madalali hawatakiwi Mwenye Nyumba no. 0782052701
Back
Top Bottom