Kuna kampuni niliwahi kufanya kazi,wakawa wananikata huo mkopo lakini walikuwa hawapeleki huko bodi for almost two years. Nimekuja kwenda kuangalia balance,duuh nimekuta deni limepanda from 4mil to 10 mil.nimebaki sijui naanzia wap ila risit zangu zote(salary slips) kwa muda huo wote niliokatwa...
Duh hapo kwenye kuandika barua sidhani kama alifanya, na ukiwa disqualified ina maana ukitaka kurudi chuo unaaply upya first year?manake sasa haya Ni majanga
Wakuu kwema,naweza kuwa nimeweka kwenye forum isiyo sahihi sana lakini mtaniwia radhi.Nina jamaa yangu alikuwa anasoma chuo cha SAUT,akiwa mwaka wa mwisho alipata carry ya masoma mawili,kabla ya kwenda kufanya hiyo mitiani akapata kazi hivyo akaenda kufanya kazi akaachana na hiyo mitihani.Sasa...
At the end hii ngoma itamsumbua sana May,kwa nini asijiuzulu akawaachia wafanyr wanavyoona inafaa?Au kwani haiwezekani kurevoke kila kitu na kuachanq kqbisa na huo mpango?
Sent using Jamii Forums mobile app
For several days now the several US federal agencies are in shutdown.This is after the president and Congress failed to reach an agreement on the funding of the wall bordering Mexico.So will happen if both side keep their feet on the ground regarding their demands?
Sent using Jamii Forums...
Salama zenu wote.
Nilikutana na watu wakizungumzia kuhusu kichwa habari hapo. Wakisema kuwa unanunua something like a package alafu mwisho wa mwaka unalipwa kiasi fulani cha pesa.mfano,walisema kuna package inauzwa laki tatu na nusu ambapo mwishoni utapata 1250000.sikuelewa vema na nilipojaribu...
Japo hujaeleza we full support our president ni katika aspects zipi, bado sio kweli kuwa Trump ana full support ya democract na republican katika nyanja zote
Umeeleza zaidi pale ambapo marekani ilishindwa,well inaweza kuwa ni kushindwa kwa maana ya tafsiri yako sio ya kivita yenyewe,hilo achana nalo,nbona hujaeleza popote anbapo hao Russia wamepigana na wameahinda?nilitegemea baada ya kueleza kwa kirefu mile unachoona kama ni kushindwa kwa marekani...
Mambo mazuri yalioorodheshwa kuwa Ghadafi alikuwa akiwafanyia RAIA WA Libya no sasa lakini haikuwa Libya yote,kuna taarifa kuwa alikuwa anafanya hayo kwa watu WA jiji WA Tripoli tu,miji mingine zilikuwa zinateketea kwa shida,ndo maana uasi ulianzia Benganzi na wala sio Tripoli
Jana nilisoma source moja inasema RAIA was Urusi walipo ugenini ikiwa ni pamoja na wanafamulia was viongozi wote wa urusi warudi nyumbani.Japo wataalam wanasema bado hakuna uwezekano was vita kuzuka hivi karibuni,wanakiri kuwa kuna kutishiana kivita kwa pande zote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.