wakuu wa jukwaa muhimu sana
NImeulizwa swali na ndugu yangu mmoja
Hivi ni mazao gani yanastawi msimu wa mvua za vuli kwenye mikoa ya kigoma, manyara, pwani na iringa??
Taswira katika picha inaonyesha baadhi ya madalali wa makampuni ya simu wakichekelea baada ya kuwaumiza wananchi... to me this is just an IMAGE OF SHAME!! NO PUN INTENDED
Naona naibu waziri pamoja na King maker wakiwa swaafi kabisa... baada ya kupigilia misumari
Kwa leo tu....
nakumbukia enzi zileee napenda bintimurua sana, lakini enzi zile zaidi ya kuandika barua sikua na ujanja hata wa kumsalimia
Ni kwa leo tu, nakumbukia the good old days
Wakuu, pamoja na uzee wangu... huyu dogo Diamond namkubali sana, i ahve all his albums,videos na pia review
Nimesikiliza album ya mwisho, ni nzuri sana, lakini nahisi imemiss BOB JUNIOR touches
kuna tastes za Matonya, marlow, tundaman old diamond na nyimbo kama tatu zisizoeleweka kidogo...
tHE MATCH BETWEEN TOTTENHAM AND BOLTON HAS BEEN ABANDONED... THIS IS NOT LOOKING GOOD AT ALL FOR A CONGOLESE/BRITISH
TETESI NI KWAMBA FABRICE MUAMBA AMEPATA ATTACK AND HE IS FIGHTING FOR HIS LIFE
a mtanzania wa kawaida, nashindwa kuelewa mantiki ya rais JK ambaye pia ni mwenyekiti wa CCM Taifa kushindwa kabisa kukipa sapoti chama kwenye uchaguzi wa Arumeru Mashariki na kwenda kuongea na wazee katika muda ambao kampeni za chama chake ndio zinazinduliwa rasmi
Napata tabu zaidi kuelewa...
For those true boxing fans, we talked about this in 2010, it seems Pacman is now facing a "reality bite"
Manny Pacquiao insists he'll fight Floyd Mayweather but offer was financially unacceptable - Boxing - Yahoo! Sports
I hope some dude rectify this so that we can watch Armageddon!!
My Bro...
Nilijaribu kutoa changamoto ya cost ya mgomo ni katuma kwenye jamii intelligence, naona edita atakua DAVOS... basi ngoja tuanze na simpo question
in our system where evreyone abuses it, kutokana na nafasi aliyopo.... "Hivi ikatokea Drs. wote wakaandikiana kwamba ni wagonjwa na hakuna sheria...
I am forced to post this kwenye jamii intelligence kwani naamini mgomo wa madaktari umesababisha huge damages to our system na hasa kwenye kulinda usalama wa raia ingawa media na serikali zinajaribu sana kufunga masikio na macho kuhusu life losses, government reputation na general risk ya...
I read this story of Steve HAwkins, the man i admires a lot (ahead of of Chopra to be honest), and at he shares the same sentiments
After reading the story, though it is very brief and doesnt say a lot about factors or what drove him to say that... i Just looked back to my very short, street...
Nakusikiliza, unasema wafanyabiasha wanashindwa kununua bulk kwasbabu ya price uncertainty... unajustify their cartel and yet wewe ni mtendaji wa serikali... unawakilisha wafanyabiasha. Na kibaya zaidi unanishangaza sana kuonyesha wazi kwamba EWURA is the cause of fuel problems by disrupting the...
Sasa tunasikia tena akina sele, necha, feruz, na wenzao wote ambao walikua wanabaniwa
Clouds are doing this expecting kukomesha vinega, unfortunately, wanatekeleza ilani ya vinega
SAFI SANA VINEGA NA SAFI SANA CLOUDS KWA KUOGOPA VINEGA NA KUTII AMRI BILA KUPENDA
Evil deed is always scared and...
Watanzania;
naomba niwe muwazi, sipendi muungano, naona ni unyonyaji na kurudishana nyuma, natamani tungekua huru bila zanzibar... uhuru tulioupoteza mwaka 1964; tanganyika ni taifa lililoishi miaka mitatu tu na kutumbukizwa kwenye chupa kutokana na ndoto njema ya waasisi, bahati mbaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.