huo msemo umetokana na biblia pia upo na kwenye kuluani unahusisha pale mussa alipokuwa anafanya miujiza kwa uweza wa mungu na waganga wa firauni nao wakawa wanafanya miujiza kwa uweza wa kishetani so ukistaajabu ya mussa utaona ya firauni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.