Wakulima wa kilimo cha mpunga, kupitia chama chao cha CHAURU huko Ruvu mkoa wa Pwani wametendewa unyama mkubwa na viongozi wa chama hicho baada ya kukusanya pesa zao zikiwa ni gharama za kuendeshea kilimo hicho cha umwagiliaji, viongozi wameingia mitini na pesa hizo na kuwaacha wakulima hao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.