ISAYA 34:16 NENO LINASEMA HAKUNA ATAKAYEMKOSA MWENZAKE YAANI KM UMEONA DALILI HIZO TAMBUA FIKA KUNA MTU ANAYETEGEMEWA NA C WW JITAHIDI RUDI MAGOTINI MWA MUNGU KWA UPYA MAANA LILILO KUSUDI LA MUNGU BABA HALITAKUSABABISHA UJE UJUTE BALI KUSUDI LA MUNGU BABA LITAKUFANYA WEWE NA NYUMBA YAKO...
nunua septrin za elfu, nunua mafuta ya baby care ndogo saga hivyo vidonge changanya na hayo mafuta anza kupaka sehemu iliyoathirika ndani ya wiki mbili lazima urudi na mtokeo mazuri
hayo mafuta ya castor oil ni haya ya jamii ya blue magic??? nisaidieni jamani au ni ya aina gani??? ni ya maji au ni mgando?? pia vp haya ya wonder 8oil ni haya ya maji au una na ya mganodo?? na vp kuhusu matumizi yake??? samahanini kwa usumbufu jamani
nyumba na mali ni urithi apatao mtu toka kwa baba yke bali mke/mume mwema mtu hupewa na MUNGU hivyo mtangulize MUNGU ktk hitaji lko atakupa sawa na haja ya moyo wako usienende kwa akilu zako mwenyewe maana swala la kuoa au kuolewa halihitaji majaribio kaka
Wameandaa pesa feki kwa ajili yakuwahonga mawakala ukawa mkuuu halafu wataita polisi wawasachi mawakala Wa ukawa then watakapokutwa na hizo hela feki watapelekwa kituo cha polisi na hapo ccm watapiga goli la mkono kiulainiii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.