wewe usiwe boya kwa hivyo vipimo viliidhinishwa kupima mapapai ? kwa watu wa computer tunasema garbage in garbage out GIGO mbona hamsemi kuhusu hivyo vitu ilivyosoma negative or undetermined
Hii inatokana na design flaw tangu walivyokuwa wanaitengeneza, kwani ilibidi wafanye mdification kusogeza mbele engine ili ndege ibalance kuhusu ange of attack walitegemea software itakuwa reliable bila kuwa na mahitaji ya rubani kwani nia na madhumuni ni kuwapunguzia gharama airline
lakini...
Mkuu unajijibu alafu unajiuliza jee tukueleweje wakati Profes Shivji keshaweka kila kitu sawa, kama ingekuwa kitu rahisi CAG angekuwa keshatumbuliwa siku nyingi sana
MKUU KWA KUONGEZEA NDEGE ZOTE ZA ENGINE MBIL ZINAZOPITA ATLANTIC OCEAN FLIGHT PLAN YAO LAST PONT NI PALE, LAZIMA ZINATUMIA CAPE VERDE INCASE YA EMERGENCY HATA NASA WAMEWEKEZA SPACE SHUTTLE KUTUA KWA DHARURA
HII INATOKANA NA ETOPS REQUIREMENTS HIVYO HATA TAG ANGOLA YA RIO DE JENEIRO INAPITIA PALE
Mkuu hivi vitu vipo kwani kuna mbeba mizigo pale sokoni Tanga Mjini anaitwa Khalfani Kigozi
hii ilitokana na watu kwenda kuiba Nazi kwa Shariffu kikapu basi akawatwanga na al-Badr ya mguu mmoja basi kilichotokea ni kile chuma walichofulia Nazi kilikatika hadi kuku aliyekula machicha nae...
Mkuu sasa hapo ndio kwenye tatizo kwani discrepancy ni kubwa kama wao hawaikubali itabidi ikapimwe kwingine sio SGS au GST hapo ndio chupi itavuka kama le professor Mruma katuingiza chaka itabidi kuchutama tuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.