we ni maskini wa akili, unadhan ubora wa sera zilizo kwny makaratas bila utekelezaji ndo 2tapata maendeleo. Ktk sera, kila chama kitakuja na sera ambazo wanadhan zitawavutia wananch wake lakn tatzo ni kwny kutekeleza. Yawezekana we ndo mvuta bangi
sijawah kuwa sisiem na pia ni mwanachama mfu wa CDM sijailipia kadi yangu toka 2008. Pili, elimu yangu haikuhusu "appeal to people''>> attack my arguement and not me.
we kweli ndo mtakamiwa, kama umeni-quote kuna sehem nimesema '' labda kikubwa ni mabadiliko kwamba CDM wanaeza wasiwe wezi SANA kama hawa wenzetu wa CCM''
Kama hii nchi watakao kuwa wanapata madaraka ni binadamu basi hakuta kuja kuwa na usawa leo hii mpeleke mke wako CHADEMA wakashndane na mke wa Slaa ktk post yoyote afu ndo utajua kama kutakuja kuwa na usawa au la
Ni ujinga kwa mtanzania kutegemea kuwa maisha bora yataletwa na mwanasiasa, watanzania wengi wanaamini CDM ikichukua nchi kutakuwa na maisha bora hata wakiwa wanakaa kijiweni, hayo ni mawazo ya mgando yasiyo na maana. Kama CCM walivyo hata CDM ndivyo walivyo hata mkipinga kwakuwa mna mapenzi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.