Habari wadau,nataka kuanza kusoma masomo ili nifanye mitihani ya bodi NBAA kwa kuanza na foundation level. kwa mwenye notes anaweza nisaidia maana nipo mkoani hakuna namna naweza kuhudhuria reviews. Thanks
Umeongea vema,kama ni binti mdogo subiri na kama umepata kwa bahati mbaya zaa. Mimi ni mwanaume na nimeoa na naelewa maana ya kukosa mtoto hasa kama mama alicheza, familia bila mtoto nishida,sister yangu mkubwa alitoa akiwa shule hadi leo ajafanikiwa na nafeel anavyoumia japo hajakata tamaa...
Watu hawataki tu kujifunza,wanataka kupiga hela chap chap ila nakuambia ukiwa serious unaweza anza na $100 (230,000/=) na ukafanya wonders japo wakongwe wanaanza hata na $10 na wanatoboa mpaka $1000 kwa mda mfupi tu.
Kila la kheli.
"Angalizo" tafuta jogoo mzuri anayepanda sana asiwe mnene sana wala asiwe chotara,baada ya hapo jifunze namna nzuri ya kutunza vifaranga hapo utatoboa hata kama kwa miaka miwili au mitatu utatoboa..
I agree,sio tu polio hata matatizo ya upofu yapo kwa wingi sana na ulemavu wa aina mbali mbali watu wanajifanya wanajua sana kumbe sifuri,utafiti ukautoe kwenye website za India kweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.