yaani mnataka mtu apende chama bila kupenda vyeo? chama kama hicho hakipo labda iwe famailia ambapo baba yupo tu. kama mwanachama anafikiri anaweza kuendesha chama vizuri kuliko waliopo lazima apewe fursa ya kugombea na ashindane na wenzake wanaotaka na akichaguliwa aongoze. akishindwa basi. na...
You have missed the backbone of this argument. the success of. any political party is hinged on respect to democratic principle or else that party becomes a religious cult.
All time along, when a political party chases one of its leader, weakness comes and not strength. when Mrema left CCM, for the first time the party became vulnerable. NCCR took the torch only to go into wilderness after top leaders failing to embrace tenets of democracy. Zitto who has likened...
kama hao viongozi hawaheshimu maamuzi ya vikao halali itakuwaje mtu mmoja anayewakosoa? kumkolimba eti? ushahidi ndiyo huo kapigwa ndani ya kikao kwa kuwa na mawazo tofauti.
kwa nini asiongee pembeni? katiba ya nchi inaruhusu uhuru wa mawazo ukiwa popote pawe katika vyama au nje, uko ndani ya serikali au nje. au mmeigeuza chadema kuwa jela ya mawazo?
hoja ya kutofanya uchaguzi eti adui yupo kazini ni ya hovyo sana. kwani msipofanya uchaguzi, adui ataondoka au kuacha uadui wake? inawezekana adui huyo anayewatisha na anaelekea kuwaelemea ni kwa sababu ya viongozi waliopo labda kwa sababu ni rahisi kuwashambulia au wamekosa mbinu ya kumshinda...
Kwa watu wanaokumbuka hata NCCR Mageuzi iliienda hivi hivi kwa sababu baadhi ya viongozi na mashabiki wao walikuwa hawasikii unapojaribu kukosoa mambo ya wazi. Hakuna chama chochote kinachoweza kuendelea iwapo mnakandamiza demokrasia hasa kuchagua/kubadilisha uongozi muda unapofika. lazima...
Habari za ndani kabisa rwanda zilikuwa zinasema wamepigwa vibaya na hata yale majeshi ya mpakani yalionja issue zetu.
Inavyoonekana hata gharama za vita zimemshinda kagame kwa sababu vyanzo vyake vyote vimezibwa na watu wa ndani ya ikulu wanasema jamaa amepagawa jinsi ya kuendesha nchi bila...
nimesoma kwenye forum ya kinyarwanda na japo hiyo lugha siielewi lakini mambo yanawaendea vibaya. Wanasema majeshi ya kongo na un wanatumia silaha kubwa sana na mabomu yanashuka kama mvua goma na ndani ya rwanda. askari wa rdf wameuawa wengi sana na wizara a ulinzi ya rwanda ina recruit watu kwa...
kututenga ni kwa sababu tumewashika pabaya. tpdf imeua deal zao za wizi wa madini kongo na hawajui cha kufanya wanatapatapa. inabidi watengeneze ushirika wa mbinu mpya. ndiyo hiyo mipango ya kulima viazi vitamu milimani imeanza. ila nanusa vita kurindima hivi karibuni. hofu kubwa ni kwamba...
ukweli tunao na unajulikana. kinachowasumbua ni kuendeshwa na mbumbu kwa sababu kagame hajasoma kama walivyo watutsi wengi na amejua kusoma na kuandika akiwa monduli kwa wazee wakazi. ndiyo maana anawaza na kuongea kama mlisha mbuzi. ukiangalia katika maisha yake huwa anakwepa negotiation na...
wewe ni mwongo. kagame ameingia kongo na amaua wakongo million nne na kuwaua wahutu wote waliokuwa kambi za wakimbizi na jeshi la rwanda limekuwa lipo huko. jwtz imekomesha. no more diamond, coltan and free meal. the tyrant is scared. aende akalime viazi vitamu milimani tuone kama ataongea...
najua watu wanaamini utalii. lakini wanaokuja kwetu hawatumii pesa za hapa. anakuja na ndege ya kigeni, anapokewa na magari yanayomilikiwa na wageni, anafikia hotel zinazomilikiwa watu wa nje haohao, anachukua charter zao na kurudi kwao. halafu baada ya hapo hao foreigners wanarudisha faida hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.