We jamaa muongo sana! Raphael Daudi alikuwa na magoli 8 ya VPL wakati Kichuya alikuwa na 11, wakati mwingine uwe unaona AIBU kuleta ushabiki maandazi
Sent using Jamii Forums mobile app
mitale na midimu nae namuona kama mshabiki mwenye upande flani! Nafikiri anajitanabaisha hivyo ukimfuatilia kwa makini
Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Nikuombe tafadhali, katika kumkumbuka marehemu Shabaan Dede tafadhali ungetuwekea hapa list ya nyimbo zake kadhaa zilizotamba katika hizo bendi alizopitia
Aisee Chenjichenji umefanya kitu kikubwa sana! Nilikuwa najaribu kuimba hapa lakn nikawa nimesahau jina la wimbo na baadhi ya mashairi! Ni moja kati ya kazi bora kabisa za marehemu akiwa na DDC MLIMANI Park
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.