kaka fafanua maafisa wa vyeo gani labda wakurugenzi ndiyo huwa hawataki kuhama, mimi kwa ushauri wangu aende Lindi maana Meatu watampeleka Bukundi atapigwa vumbi mpaka basi Kikwete mwenyewe anakujua anakwambia ukiwa unaingia Meatu utaona ukungu kwa mbali utafikiri mvua inataka kunyesha kumbe...
wewe kweli ni mfatiliaji wa mambo? Lubuva na mkurugenzi wake ni wateuliwa wapya kabisa ya 2010 hayawahusu ile ilikua tume ya makame na mwenzie yule MJALUO
Dah! umenikumbusha chuo mkopo ulikua ukichelewa mademu choka mbaya utakuta mademu watatu wanakula chips sahani moja,utawasikia heti si HATULI SANA(kwa sauti yao ile ya kike) kumbe ukata hahahahaha!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.