Mkuu huu ni uchumi wa wapi ukiosomea?
Yaani marekani ikiwa na shida ya hela tu I aprint?
Unajua madhara ya kuprint hela ovyo kwenye uchumi?
Hivi unajua matumizi yoyote ya serikali ya marekani yanapitishwa na bunge?
Hukuwa kusikia serikali ya marekani I afungwa kufanya kazi kwa sababu bunge...
Hivi umewahi kufuatilia Israel wanachowafanyia wapalestina wa ukingo wa magharibi?
Ukitaka kuuelewa huu mgogoro usichague upande kwanza. Fuatilia kwa kina utajua nani anafanya nini.
Halafu jaribu kuvaa viatu vya kila mmoja wao uone ungechukua hatua gani.
Kabla ya kuingia gaza Israel walikuwa wanajua hamasi wa mtandao wa mahandaki. Kwanini hawakuwqfuata huko huko chini wakawapiga kama kweli wanauwezo huo unao wasifia.
Wamekaa kupiga mabomu na kuuwa watu wasio kuwa na hatia.
Dini ni kitu kibaya kilicholetwa Duniani.
Asilimia kubwa wanaoichukia Israel au palestina. Ni kwa sababu ya dini.
Ukiweka dini pembeni ukaamua kufuatilia ukweli utajua tatizo liko wapi.
Maisha ya kila binadamu yana thamani. Dini isikupofushe ukaona uhai wa binadamu mwingine hauna thamani
Kwenye mbet. Hiyo report iliyosomwa imeishia desemba 2022. Kwahiyo ametoa nusu. Nusu nyingine nia kuanzia januari mpaka mwezi wa 6 .
Kwahiyo subiri riport ya mwisho wa mwaka huu ndio utajua m bet ametoa sh ngapi
Sio kweli. Halimlengi kila mtu.
Sio wote wanataka kutoka miss kuwa Mrs, wengine ni wanaume, wengine ni watoto, na hata hao wanawake wameshaolewa.
Sio kila mtu anataka kutoka kwenye usafiri wa umma. Wengine tayari wana magari yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.