Zaidi ya bus 5 za wanachama wa CCM. kutoka Sengerema. Kesho wanaelekea RWANDA kuisapoti Yanga. Hago yajili mji wa. Sengerema shamra shamra zimeanza.
Kwa mbwembwe za mashabiki wa Yanga kutoka mikoa mingine kupiga mjini napa Kwa shangwe za vuvuzela
MMm! Pasua kichwa ! Nimejaribu kuwasiliana na Bodi , huduma kwa wateja, wanasema kinachotakiwa ni copy iliyodhibitishwa which is which.....piga huduma kwa wateja usikie wasemacho.
Maduka zaidi ya 150 yateketea Tanzania
Saa 2 zilizopita
Mshirikishe mwenzako
Image caption Zaidi ya maduka 150 yameteketea kwa moto
Moto mkubwa umezuka na kuteketeza vibanda vya maduka zaidi ya 150 katika mji wa Kayanga wilaya ya Karagwe mkoa wa Kagera magharibi mwa Tanzania. Moto huo ambao...
Looh! Ukubwa dawa. Mwaka 1995, uchaguzi mkuu wa kwanza wa vyama vingi. Makanisa mengi ya Rc yalisali Jumamosi. Kipindi hicho........Mrema alikuwa habari ......kwa kila mwananchi. Wenye kumbukumbu nzuri warejee
Ni wilaya iliyogawanyika kutoka Kibondo. Sehemu kubwa inapakana na nchi ya Burundi, na game reserve ya Mwaiwosi. Ni sehemu nzuri . Inapakana na Biharamuro, Ngara na si mbali kufika Kahama
Nimetoka zangu Bukoba nataka kununua bidhaa kwenye jiji la Mwanza. Cha ajabu maduka yamefungwa, kisa kuna kesi ya kiongozi wa wafanyabiashara Dodoma. Dodoma na Mwanza wapi na wapi !Uchumi wa nchi hii utaenda kweli.........
Kirusi cha Ugonjwa wa Ebola
Watu sita wakiwamo wahudumu watatu wa afya wa hospitali teule ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza, wamewekwa chini ya uangalizi maalum baada ya kumhudumia mgonjwa aliyefariki akiwa na dalili za ugonjwa wa ebola.
Mtu aliyefariki alitajwa kuwa ni Salome Richard (17)...
Tendwa nje, nafasi yake yachukuliwa na Jaji Mutungi
Kwa ufupi


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Mheshimiwa Jaji Francis S.K.Mutungi kuwa Msajili wa Vyama vya Siasa.
Taarifa iliyotolewa Dar Es Salaam leo...
Katika hatua nyingine, Mkuu wa Operesheni wa Jeshi la Polisi nchini, Simon Sirro, aliyeko wilayani Ngara kikazi, amejikuta katika wakati mgumu baada ya mwananchi mmoja mkazi wa kijiji cha Mugoma kuibuka na kuelezea wazi mkasa wa mauaji ya polisi wawili na raia mmoja.
Kijana huyo, Said...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.