RIP Mwalimu Kilagane,nasi wa Technical College Arusha miaka ya 1980s tunakukumbuka ktk somo la Electrical Machines.Pole mama KIlagane Nurse wetu Ifunda Technical
baadhi ya umeme unaopaswa kurudia njia ya circuit breaker unakatisha njia ya ukutani kukamilisha mkondo aridhini(earth leakage)kwa njia ya maji ya mvua yaliyopenya katika sehemu uchi(bare) ya mfumo wa umeme vibandani.breaker hiyo ni nzuri kwa matumizi.
maji ya mvua yalikuwa yanachirizika ndani ya switch na kuisababisha kuunga(on) mkondo na taa kuwaka,mchiriziko ukikata switch inakata mkondo(off) na taa inazima,kitendo kinaendana na kasi ya mchiriziko wa maji ya mvua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.