Habari wa JF,
Mimi ni kijana wa kiume wa miaka 32. nina tatizo la miguu na mikono kuwa ya moto na pia kuwa na ganzi ni tatizo ambalo limeanza kama wiki 4 zilizopita saa nyingine hata nikivua nguwa huwa najihisi kama sijavua ngu nahisi kama ninazo mwilini.
Nimekwenda hospitali moja hapa Dar...
Habari wa jf
naimani na wataalumu wa humu ndani
naombeni mnisaadie kujua jinsi ya kuformat samsung galaxy S4 maana nimeshindwa kufanya. msaada wanandugu
natanguliza shukrani sana
mi napenda kuwaambieni kuwa hicho chama cha ACT hikitafika mbali maana wote wanaoenda huko wanategemea kupata uongozi sasa kama wakikosa ndo ugovi utakapoanza mi nawaambieeni tena hawatafika mbali. ukiwa mroho wa madalaka hutafika mbali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.