CCM hawana tena sera hivyo wanawatumia wasanii kuvuta umati wa watu na pia kupoteza muda, dhumuni la watu wengi ni kwenda kutizama show za wasanii na wala c kwenda kuckiliza sera mbovu za ccm pia wanaturahisishia kuwaona wasanii bure coz huku kitaa wengi wetu hatuna fedha za kulipia kwenye kumbi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.