Hivi kama hauna taasisi za kupewa misamaa ya kodi unataka watu/serikali ije kuwagawia hela kweli? Anzisha taasissi alafu isipewe msaada then dai haki yakooooooooo!!
Kweli Mkuu kuna tatizo kubwa sana la Comfidentiality ndani ya CDM na ndio litakipoteza chama. Nadhani vijana waanze kufanyiwa veting labda itasaidia.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
INASHAURIWA NA WATAALAMU WA AFYA USIPENDE KUUTESA MOYO WAKO SABABU UPO DELICATE HUCHELEWI KUZIMA GHAFLA!!! HIVYO INASHAURIWA KUIPENDA MAMNCHESTER NA SIMBA KWA AFYA BORA. RED ARMY :bange:​
Kaka huo mpunga daah! embu jaribu kuongea na bank iliyokaribu nawe uliza kwanza imetoka kwny account gani uckute ni michezo yao ya kusafisha counterfeit money kama ndivyo mpige pasu kwa pasu na mwenye huo mpunga.
Nataka kutumia Sumsung GTS5603 kama internet connector ila napata ujumbe huu "RasGetEntryProperties sizing failed error 771" Tatizo litakuwa ni nini wadau? Naomba msaada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.