Sa si unacopy tu kama tano, unawapigia unawauliza walisoma shule gani, namtafuta dada yangu alisoma hapo. Ukiona hawaelewi somo ujue changa la macho. Au chukua namba mbili wapigie alafu muulizd mmoja kma anamjua mwenzie
Her yako umeona ukwel maana utapata amani, chadema ina wenyewe wengne chambo, angalia linapokuja suala la uongoz pale juu wanavyokuja juu ikiwa 2c wa kaskazn' jidanganyeni 2 na kutetea maslah ya vigogo na kusema mnadai hak za watanzania' kuzmu mshawekwa bond amken nyie mazomb kama mwenznu' big up!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.