dah mwana umenikumbusha mbali kinyama!....Lost Boyz walipotimba bongo walipewa kitu cha Malawi afu mixer kama hyo ila ya ma.vi ya ng'ombe!.....puff kunya,puff kujamba!!...zingine zote famfa tu!
jibu moja la akili sana hili mkuu Chinga One....afu ukimuona Paula kilaki mwambie dah heshima zake mingi sana!!
Mi ushauri wangu kwa sasa huu uzi uwe sticky!
mbona ninyi wenyewe kwa wenyewe mnambwanda kusanuana nani ni nani?mnaishia kutaja majina ya wenzenu tu!...kama vipi nendeni chemba...,sio kesi!
cc: Sizinga queen of sheba Chinga One Madame B geniveros Kim nana
We pwapwasa acha kuchafua majina ya watu kidwanzi!hiyo 25000 hukuombwa na ndio mana umeshindwa sema sababu ulizokuwa unapewa hadi ukafikiria unazungushwa sana na kwamba wote ni walewale wanaotaka rushwa.
Pili,mikopo ya biashara na ya watumishi inashughulikiwa na maafisa mikopo tofauti,onesha...
Nimejisikia fresh sana kwa huu uzi,mana nakumbuka miaka ileeeeee tulikuwa hatutukaniwi mama zetu kama sasa.,tulikuwa tunaambiwa "ndio mana Mmakonde!"..,baaaas!lilikuwa tusi tosha kukufanya ujisikie vibaya sana!!
Mtwara kucheelee!!.....kila munu ave na kwao,bhaaaaaa!!
mkuu si kaweka namba?huwezi kuwa interested na biashara ya m370 afu ukakosa vocha ya kupiga kuulizia mambo mengine!.....au alimradi nawe umecomment?kuwa serious!
Mkuu wapo wahitimu km ww wana miaka miwili mpk mitatu mtaani na bdo hawajakata tama.km hipo hipo tu.ushahuri wangu husichague kazi.tafuta ajira yyt hata kwa mshahara wa 150,000 angalau husikoe ht hela ya nauli na kutolea fotokopi cv zk.mm mwnyw nimesota miaka miwil na ajira vibarua ila kwss...
kampuni yetu inatafuta wafanyakazi wa kike.mshahara 150,000 kwa mwezi.chakula cha mchana free.km yupo serious mwambie anitafute.umri co ttz.mwmbie anitext kupitia namba yng 0712376107 ajitambulishe mm ntampgia nimpe maelekezo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.