dah kaka m naona hao wanaopelekwa kindez na madem wa chuo ni maboya! Kwanza m dem hawez kuniteka kihivyo wewe yan nizimike kama huyo Mlokole.Tatizo n kwamba mchz katokea shamba then hajawah kukutana na madem wadanganyfu ambao wanaweza kukuigizia ukaamini wanakupenda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.