Wajamaa hawa Al shabaab tusiwaingilie kabisa tz. wakenya hadi sasa wamelikoroga kuwafuata kwao maana sijui kama watawamaliza,kinachotakiwa nikua makini na mipaka yetu hilo ndio muhimu kwa wakati huu
Ebana hata siju huyu mama kavaa vazi la kiarabu la kiisilam au la kidosi mie simjui ila naamini angekua muisilam mwenye kufata sheria sidhani kama angekubali aende kukaribiana na wanaume namna hiyo Ingekua mitaa sudan kama huyu mama ndo kenda kujichanganya na wanaume bac adhabu yake ni fimbo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.