Nipo Morogoro
MSAADA: Nimehamia nyumba ambayo inajitegemea mita, lakini kwa 5000 napata units 13 tu, kama naweza pata msaada wa kuirudisha mita yangu kwenye matumizi ya kawaida, maana matumizi yangu ni madogo sana kwa mwezi,. number yangu ya mita 22132674049
.,F ya namba isikuzingue.,kuna jamaa nilisoma nao HGE enzi hizo walikuwa na F ya Math now wapo SUA wanapiga AEA.,but inabidi ukaze bam utusue la sivyo majanga yatakukuta mbeleni.,ukienda advance pga msuli kweli mambo yanawezekana.,JUST BELIEVE IN YOURSELF U CAN REACH ANYWHERE YOU WISH.,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.