Mh! Hp weka vizuri mada yako au ni PM nitakusaidia. Makato ya kodi ktk mshahara ukimaanisha paye na sdl??
Manake unaposema kukatwa mshahara inanivuruga!
Mnamwonea bure Tayadi; uliandika si ki-engereza na hata hiki ki-swahili pia sicho.
"Kihingereza, Manahake, Kahamua, Kuhandika..."
Au ndio mnavyojifunza katika hizi sijui academic, international etc
Hili liwe jukumu letu sote, kuinuka na kupaza sauti zetu sote kukemea udharimu. Na si kubenea peke yake, yeye alijitoa muhanga kutoa habari kwa watanzania sasa ni zamu yetu kusema kwa niaba yake.
Kuna usemi husema "The trimph of evil is for good men to do nothing"
We are good, we dont have to...
Mshukuru sana Mungu aliyekupa wewe uwezo wa kuwa na TV zaidi ya moja na Moyo wa kumdharau mwenzio kwa umaskini wake. Naamini ipo siku Mungu huyu atatenda kwako pia.
Wazo langu,
kimtazamo hapa si mahali pa kutukanana au kuwa majibizano ambayo hayana lengo ya kufundisha au kusaidia. Mleta mada kaleta hoja, wazo na hisia zake juu ya nn amekiona huo usiku kwa ITV. Sasa sawa hajatuambia ni nn hasa alichokiona ili tuweze kumsaidia ipasavyo!
Tasfiri ya yeye na...
Asanteni kwa michango yenu;
Kwanza nnacho kiona hp ni tatizo la ukabila na kwa comments na majibizano yenu, watu wa kabila flani hapa ni wengi.
"Tusigeuze ukweli kuwa uadui" hivi mnaijua hio Taasisi na walioijaza ndani yake?? Msigombane
Pili ni kuwa japo mnapinga hakuna upendeleo, kwa kigezo...
Kabla cjaenda ndani zaidi, Bongolaka mm nnanashaka na uwezo wako wa kufikiri na upeo wako katika kupambanua maandiko katika Imani yako.
Hao wa dini yako walienda fanya nn kwa Mchungaji km si ulafi?!
Sasa mm ningeomba ninapoendelea kuisoma hii mada, naomba hao wa Dini yako wakaanze kazi pale...
Sawa kabisa Incredible. Kwamba hapa kila mtu atasema lake, kuwa kati yetu wapo watakao angukia mikono salama na wengine ndo hivi.
So Faby, careful Brother.
Lakini mpk lini tutaendelea kuendeshwa na wehu?
One said "the triumph of evil is for good men to do nothing" mpk lini tutanyamaza??
Hii nchi imekuwa ya ajabu sana!
Lkn ndg yangu,em tuongee ukweli, mm nimekulia na bado nipo ktk familia hizi za askari hawa. Toka 81 nimeishi hapa ufundi ghorofa ya pili hiz za zamani km waenda mgulani. Hivi hawa wanaelimu gani? Mode zao za kukuza taakuma baada ya kutopa moshi hasa hawa wa F4 zipoje??
Wengi wao ni watoto wa...
Lkn c jambo la busara kuupima mradi kwa cku za usoni, hasa kwa hili ya mwakyembe. Lazima kuwe na gharama na changamoto nyingi sana, alichotakiwa kufanya mnyika ni kutoa m'badala wa nn kifanyika ili kunusuru hio hasara kuliko kuanika na kutotoa suluhisho la tatizo unakuwa hujawa msaada bali...
Ni kweli kbs Rosena, ni aibu. Tuna matatizo mengi na changamoto nyingi mno hapa kwetu; Elimi, Kilimo, Miundombinu, Afya, na mengine mengi tu. Kwa upuuzi huu waufanyao wanatupotezea fedha nyingi ambazo kimsingi tungeweza zielekeza kwenye haya kiliko visasi tena baina ya watu na watu tena kwa mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.