samahan mkuu mm sina uwelewa sana ktk hayo mambo lkn nilivyoona waliochaguliwa medicine vyuo vya sirikali wamepata 4.3mil naukweli ni kua wanapata 100% na ada yao ni 1.8mil na wanakaa chuo miaka mitano sasa mbona hesabu inagoma 4.3mil/5=1.8?????;> kidogo naomba kuelimishwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.