Mpuuzi anaendelea kuiua ccm kisiasa unadhani itawaeleza nini katika chaguzi za kata hapa Arusha wananchi hawataelewa anazidi kumpa chati lema na Chadema kwa kasi kubwa
Mkuu wa mkoa wa ARUSHA anadhani watu wa kizazi hiki ni kama wa enzi hizo za karne 19.Ndo maana nasema mkuu wa mkoa apatikane kwa kura za wananchi katika katiba mpya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.