kiukweli leo nimeona kitu cha ajabu,nilikuwa nasikia lakin leo nimeshuhudia mwenyewe wanyamongo na wanyabhasi wanataka kupigana,ni panga nje nje na nina mshukuru mwenyez MUNGU tumepita salama kwani wamefunga barabara wafanye msako wa abiria waliopakiwa katka magar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.