et wadau naomba 2 muongee ukweli juu ya hili swala et kat ya agronomy horticulture and agr.general ip ni best kuliko mwenzake na ni ip iko poa kwa ishu ya kupata ajira maana kuna, naomba majbu ya ukweli kiroho saf wakuu
kila kozi ni ngumu inategemeana tu na ww hata iyo sociology unayodhani ni raic kuna mwingine anaona ni ngumu so ugum wa ki2 inatgemeana na mtu mwenyewe
Hizo ndizo kauli za kishenz ambazo 2nazkataza ukisema ivyo izo koz nyingine asome nani na kwa nn useme eng na medicine ndo koz za kiume ?fanya unachkiweza na ambacho moyo wako unakusukuma ufanye co ufanye ki2 kwa sababu ya prestige ukiwa na notion kama izo utajkutaga ww ni kuumia kila cku ww...
we ndo ujui ki2 kabsa umaskin na utajiri ni juu yako mkuu na jinc ulivyojipanga mbona wako wa2 wanafanya kaz sehem zenye hela kama vle benk na sehem lkn bado mackin na hapohapo wako wa2 wanafanya kaz sehem za kawaida kama vle walimu na bado wanapesa so kuhusu kuwa tajri ni mipango yako 2...
Kwa wale wa sua it is ma hope u ar ok naombeni nijuzeni hii koz ina field mwaka wa ngapi na vp kuhusu msuli wake kulinganisha na food science &technologyna pia khs future zake which one has bright future than other?
hapo umesema ki2 mkuu serikali co jinga kutoa jiti kwa baadhi ya koz ikiwa na maana kwamba mbeleni itazihitaj hizo i mean market big up mkuu 4 ur answer
hi all jf members kuna hz rumours zinazosema eti m2 akimaliza udom na akienda baadhi ya ofic kuomba kaz wanamkataa kwa sababu ya jina la chuo hivyo nltaka kujuzwa kuwa hao waajiri wanaangalia gpa au wanaangalia title ya chuo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.