Ndugai ni mgonjwa,pale alipo hajitambui. Anahitaji matibabu ya haraka.
Aliposema kuwa lissu hakufuata utaratibu, yeye uchunguzi tu anaenda India, ni daktari yupi au wapi aliyempa rufaa ya kwenda India.
Wamuunganishe kwenye kisomo.
Makondakta hajashinda Vita yoyote, ila vita pekee aliyoshinda nikumsifia magufuli na kulindwa nakupewa ulinzi.
Magufuli akistep down tutajua kama ameshinda vita au lah. Uzi huu uwe kumbukumbu kwa vibaraka wake.
"a leave one man to tell a tale"-pirate's of carribean
Tunafafanua Nissan na Toyota, wazalishaji wawili wenye utambuzi wa bidhaa za haraka. Wakati magari yao katika makundi mbalimbali yanaweza kuwa majina ya tofauti, ikiwa bado yanashinda ushindani kuonekana. Soma juu ya kujifunza aina gani ina juisi zaidi wakati ununuzi wa magari mapya! jua...
labda tuanzie hapa
suzuki escudo usiongelee hapa maana rav4 zote zimeipita kwenye hatua mbali mbali
kuna kitu nataka niwaelimishe watu ambao wanaendesha magari 1997-2005 kuna vitu vingi sana mnakosa, magari mapya yanakuja na features nyingi sana na usalama juu. ECO Mode, DAC, lock...
Huyu jamaa nilishamdharau toka mda mrefu sana, hanaga akili ata kidogo.
Anamlamba bashite miguu,mwili mkubwa akili ya sisimizi.
Lissu sio level yako, haya nikuulize mbona bashite hajatoa pole kwa lissu kwa mfano??
Ni kichaa tu anayeweza kukataa condensate haiwezi kutumika kwenye petrol. Binafsi niliwahi kuongea na engineers wanaoendesha plant songosongo miaka miwili iliyopita ile condesate inayozalishwa pale inaeweza kutumikuendesha mitambo.
Kuna kipindi cha nyuma wakazi walikuwa wakiiba na kuuza kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.