Search results

  1. earl

    Marangu Coach imefikia hatua hii

    Hii inadhihirisha kwamba hapa TZ mmiliki wa biashara akifa, uwezekano ni mkubwa baishara aliyoacha nayo itakufa kwa usimamizi mbovu
  2. earl

    Dawa ya kuua huyu mdudu

    WAnakula wadudu kama nzi, bubui, n.k. Kwa hiyo ukiwaondoa, jiandae kwa usumbufu wa kilichokuwa chakula chao
  3. earl

    Inakuwaje waliopata GPA ya 2 wanapata kazi huku waliofaulu zaidi wakiachwa wazurule?

    Lecturer mmoja alitwambia, bora ukapata gentleman GPA (2) lakini uweze kuitetea, kuliko first class ambayo ukienda interview, kila mtu anabaki anashangaa kama vyeti ni vyako ama la
  4. earl

    Uasi dhidi ya Nyerere 1964 by Joseph Mihangwa

    Historia muhimu. Ni ajabu kwamba hatukusoma hili katika mitaala ya elimu ya msingi wala sekondari. Tukaishia kusoma the rise and fall of Mali kingdom
  5. earl

    Tayari Watu wameshapigwa huko!

    Katika hii video, kuna hiyo Certificate of Incorporation imeonekana, nadhani ni feki. Wenye certificate hizi mpya za tarakimu 9, angalieni saini, mlinganishe na hii ya kwenye hii video
  6. earl

    Kwanini siku hizi wanawake wengi hujifungua kwa njia ya upasuaji?

    Ni kubadili mfumo wa maisha, kuzingatia ulaji wa mlo kamili (balanced diet), na kuwa utaratibu wa kufanya mazoezi (physical exercises). Haya ni muhimu sana kuweka sawa hormone zao
  7. earl

    Kwanini siku hizi wanawake wengi hujifungua kwa njia ya upasuaji?

    Wengi sana wana tatizo la hormone imbalance. Hii inawaletea changamoto nyingi sana kuanzia kupata ujauzito wenyewe. Wanafika kipindi cha kujifungua watoto hawajageuka kutanguliza kichwa. Hapo operation lazima. Tatizo la hormone na chanzo kwa sehemu kubwa
  8. earl

    Wanahabari wetu hupata tabu kwenye suala la mahojiano kwa lugha ya Kiingereza, shida ni nini?

    Tatizo wanawaza kwa Kiswahili na kuuliza swali kwa Kingereza. Ili mtu uweze kuwa fluent katika lugha ni lazima unapohama kuzungumza lugha A kwenda lugha B, mawazo yako nayo yawe katika mtiririko wa lugha B
  9. earl

    BRELA badilikeni

    Pole ndugu. Ni kichefuchefu. Bora zamani ulikuwa unaongea na anafanyia kazi ombi lako na sio mtu wa customer care.
  10. earl

    Kumbe kubandika stika ya BIMA kwenye kioo cha gari ni lazima, hata kama umekata BIMA yako mtandaoni

    Unatakiwa uprint, na uwe copy yake ndani ya gari kama kadi ya gari.
  11. earl

    Nimekutana na Basi "Made in Tanzania", hongera Rais Samia Suluhu

    Sio kwamba dereva aliye mafunzoni ndo “made in Tanzania”?
  12. earl

    Tundu Lissu: Nitarejea Tanzania iwapo nitaruhusiwa kuanika ‘Maovu’ ya Utawala wa Magufuli

    Kabla hajarudi awaambie hao wanaomhifadhi wafichue maovu yao kwa kifo cha Patrice Lumumba
  13. earl

    Aliyegonga Tembo wa thamani ya Tsh milioni 30 Serengeti anatafutwa

    Mmiliki wa gari hajafahamika kivipi na plate namba zipo hapo kwenye gari? Ina maa usajili wa hilo gari haujatolewa na TRA?
  14. earl

    Kwanini Toyota wanapanga kusitisha kuzalisha V8

    Wanasema kwamba V8 engine ni kubwa hivyo uchafuzi wake wa mazingira ni mkubwa pia. Watakuwa wanatengeneza V6 pekee yake
  15. earl

    TANZIA Katibu Tawala Arusha, Bw. Richard Kwitega afariki Dunia

    Dereva kwakwepa upande wake na kulengesha upande wa boss
  16. earl

    Kukurupuka katika usajili kwa Simba na Yanga ni kiashiria kuwa tuna safari ndefu sana

    Upo sahihi kabisa. Hakuna long term plans, ni kama watoto wanaogombea pilau ya sherehe halafu baada ya sherehe wapo hoi kwa kuvimbiwa.
  17. earl

    Wajuzi wa malorry Lorry gani zuri kati ya DAF, SCANNIA, MAN, ACTROS au VOLVO,

    Benz Actros ndo kiboko ya yote. Chuma cha Mjerumani
  18. earl

    Safari City Project Arusha: Wapi tumekosea kama nchi?

    Huwa naona pale TRA watu wana hiyo mikataba ya Safari City wakilipia ushuru. Ila NHC walipewa onyo kwamba wasiwe na miradi mingi isiyomalizika, waweke focus kwenye mradi mmoja na kuumaliza, kisalha wahamie mwingine
Back
Top Bottom