Kivipi sio demotion, wakati Katibu Mkuu Kiongozi ni Mtumushi wa juu kabisa katika utumishi wa umma na anaripoti kwa Rais, wakati hivi sasa atakuwa anaripoti kwa Katibu Mkuu-Wizara ya Mambo ya nje!!!
Una bahati sana ndugu, anza kumtumia yeye kama connection ya kufika malengo yako,
Connection ndio hizo sasa
Amka tumia,
Haiwezekani darasa zima muwe CFO-Vodacom, lazima utofauti uwepo ndivyo dunia inavyokwenda hivyo
Habari wana JF,
Kuna fursa tunaweza ku ungana kama vijana na tukajiajiri wenyewe(kwa walio serious tu)
Nahitaji vijana wasiopunguwa kumi(10) ili tuweze ku ungana na kujiajiri wenyewe
Vijana hao wawe na Sifa zifuatazo
1. Sifa ya msingi; Angalau awe na elimu ya shahada ya kwanza
2. Awe ana...
Habari Wadau,
Kijana mwenye uwezo wa kufanya Intern ya Graphic and Design
Anicheki wakuu,
Kuna fursa imejitokeza au atume mail kwa kassa.mwakambaya18@gmail.com
Ahsante
Ahsante kwa kuleta mada hii mezani,
Ila imesababisha nijiulize maswali yafuatayo kuhusu Katibu Mkuu Kiongozi
1. Katibu Mkuu Kiongozi kama mtumishi wa umma,.yeye hawezi kuwa na likizo!?
2. Katbu Mkuu Kiongozi huyu kabla ya uteuzi alikuwa ni Balozi wa Tanzania nchini Japan,
Na alipata uteuzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.